Friday, 5 July 2024

Nimekumiss Tena mpenzi

Mpenzi najisikia Raha sana niwapo nawe Kwa mahaba mazito niyapatayo kwako,wewe ni wapekee utamu wako wazid maelezo.nataman kuwa karibu nawe Kila saa Nile na kushiba mapenzi yatokayo katika moyo mkunjufu.Nakumiss Tena na Tena sukari ya moyo wangu. Fanya haraka uje Nakuhitaj nahamu na mahaba Yako.Mwaaaaa Miss you .


Ukweli Haufichiki.
Nashindwa kujizuia kufurahi Kwa mapenzi unayonipatia na Raha nilizonazo Kwa kuwa na wewe.umenifanya nijisikie watofauti sana wajua kuziweza hisia zangu sema moyo hauongei lait ungeufungua moyo umejaa tabasamu Kila nikuonapo.umekaa mbali nami namiss nikuone nione tabasamu na kicheko chako .nimekuandalia mahaba mazito utakapokuja nikuone Raha na hazina ya furaha na utamu.Love you

Wednesday, 11 December 2019

SMS MAPENZI : NAOMBA UWE WANGU TU

Ewe nikupendae mapenzi yangu kwako kila siku uwaka moto, najikuta kama mgonjwa wa mapenzi kwa ajili yako. furaha yangu ni kukuona ukifurahi na kutabasamu katika penzi letu, na uwe wangu peke yangu nikupe raha peke yako.


Penzi lang kwako halina mfano ila zaid jinsi unipendavyo nakosa majibu ya kueleza hakika sihtaji kushare mapenzi na mtu mwingine yeyote umekuwa kwangu furaha na kicheko, umekuwa kwangu tabasamu na bashasha, raha yangu imeongezeka napokuwa na wewe, utulivu tuli niwapo nawe.NAKUPENDA NAOMBA UWE WANGU TU.


Nafurahi kuwa na mtu nimpendae kama wewe ambae umenifurahisha na kunipa raha, katika changamoto na huzuni umenifariji penzi letu limekuwa kama bustani iliyopandwa kando ya mto wa utulivu,maji yake yakitia unyevunyevu katika ardhi na maua kupendeza, naomba uwe wangu tu.

wasiliana na MR. Gee 0769558006

Wednesday, 18 April 2018

Uwanda wa pwani


wanda mpenzi wangu wanda katika uzuri , wanda katika furaha , wewe ni uwanda wangu pwani yangu napumzika karibu na wewe, furaha na utulivu niwapo karibu na wewe, I love you 

ujuzi wa kweli

najisikia amani saa napokuwa a wewe umekuwa mwalimu wangu katika mapenzi kwani nimejifunza nini maaa ya kupenda, katika kufurahisha umenifurahisha najisikia raha napokuwa na wewe , taji ya kichwa changu katika upendo , unanijali la! nikuache wewe ninde kwa nani?
NAKUPENDA

Monday, 2 April 2018

Usiku umekuwa mrefu

Mpenzi usiku unekuwa mrefu sana kwani nimezoea kuwa na we we karibu sana, maisha ya Giza yananitesa lini utarudi,? Ningekuwa ndege ningepaa na kufika ulipo nami ningekupatia zawadi ya busy, usiku mwema babe!


Friday, 30 March 2018

ASUBUHI NJEMA




Tazama kumepambazuka mpenzi na nimeiona siku nyingine ya jua, naamini nawe umeamka salama katika uzuri wako, Mungu amekujalia uzima tena kwakuwa bado unahitajika kuwajibika, na bado kuna mtu anakuhitaji, mwangaza Wa asubuhi ulivyo mzuri nawe ukaangaze katika moyo wako mpenzi wangu, nakutakia kazi njema hats tuonane jioni tena, nitakumiss babe



Mpenzi nikuulize kitu asubuhi hii? Je, ulivyoamka umewaza nini na Je umetazama nini, mie nilipoamka nikatazama nje kama kumepambazuka nikaona jua linachomoza nikatamani mapenzi yetu yazidi kuchomoza kila siku yawe mapya yaliyojaa Amani na furaha, pia nikawaza nifanyenini ili mapenzi yetu yazidi kuwa moto, hata nakosa maneno ya kukwambia namna navyokupenda, asubuhi njema babe

USIKU MWEMA MPENZI



na usiku tena napata taabu kwa kukosa usingizi na sababu kila napotaka kusinzia taswira ya sura yako na maneno yako yanaingia katika ubongo wangu, nimejisikia mwenye Bahati sana, na hapo usingizi unanipaa , wewe ndo barafu Wa moyo wangu, nikwambie kitu mpenzi Wa roho yangu, Mimi nakupenda na nikutakie usiku mwema tena wenye Amani tele


Nilale na niote nini natamani napolala nikuote wewe mpenzi Wa roho yangu wewe ndiwe furaha yangu, usiku umetulia katika kitanda nimejilaza natafakari juu ya Upendo Wa Mungu kwangu na fadhila zake kwa siku na pia naona amenijalia Bahati ya kunipatia kimwana kama wewe hakika amenipatia, kwa kuumbika umeumbika na sauti nyororo ya kumtoa nyoka pangoni, wewe no mzuri hakika, ingekuwa mchana ningekwambia kitu ila kwakuwa in usiku nikwambie kitu, nakutakia usiku mwema , Love you mwaaaa


Nimekumiss



Nimekuwa kama hayala Wa jangwani kwa kuyatamani maji kwa muda mrefu ,kwangu Mimi naona kiu ya kuutazama USO wako na kuona tabasanu lako, furaha yangu iko katika kusikiliza maneno yako. Kuwa kwangu furaha na kicheko kitoke moyoni kwangu katika kuyafurahia maneno yako matamu


Ukweli siku zote utabaki kuwa ukweli tu, kuna magonjwa mengine kweli hayana madaktari, nami nimeumwa ugonjwa huo, nakosa amani moyoni kwakuwa nimekumiss mpenzi wangu, natamani kila SAA uwe karibu yangu naumwa naugulia ugonjwa Wa kupenda nawe ndiwe dawa yangu sauti yako ndiyo kinywaji change, sindano yangu in maneno yako